[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Nipo hapa sura yangu ngumu kama ganda la limao...
Sasa hutaki kuamini mkuu [emoji1][emoji1][emoji1] watu sura zetu ngumu sema avatar zinaficha mengi ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Nimeamini mkuu na ninaamini hilo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hutaki kuamini mkuu [emoji1][emoji1][emoji1] watu sura zetu ngumu sema avatar zinaficha mengi ujue
DahIla uwe na sura ngumu basi hata visent uwe navyo
Upambane na hali yakoDah
Wengine sura ngumu, visenti ndio tunavitafuta ,kazi ipo
Upambane na hali yako
Upambane na hali yako
Hahahaha
Vizuri kama wajijuaHahaha
Najijua mbn
Aisee nimechelewa kuuona uzi wa nyumbani huu.
Nadhani njia pekee ya sisi wanaume wabaya kujikomboa ni kutafuta pesa tu.
Hivihivi tunaweza kutoka patupu kabisaa
Na hamshobokewi shobokewi sana [emoji7][emoji7]
Wanaume wenye sura personal wanajua kupenda jamani
Nipo hapa sura yangu ngumu kama ganda la limao...
Ni lazima umpende haswa, mtu kajitolea kukupa hifadhi kwanini usimng'ang'anie kama luba....
Tunajua kuwa hamtushobokei ndo mana tunahonga kupita kiasiNa hamshobokewi shobokewi sana [emoji7][emoji7]
Hakika,nyinyi ndo mahusband material[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]Yaani sisi ni 'special case'.. Huwi na presha za uchepukaji...
HakikaNi lazima umpende haswa, mtu kajitolea kukupa hifadhi kwanini usimng'ang'anie kama luba....