Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nimechelewa kuuona uzi wa nyumbani huu.
Nadhani njia pekee ya sisi wanaume wabaya kujikomboa ni kutafuta pesa tu.
Hivihivi tunaweza kutoka patupu kabisaa
Hii sura yangu inatumika kuwalisha na kuwalaza watoto..
Mtoto akiwa anakataa akiambiwa 'naenda kumwita Anko Tater' kwa kasi ya kimondo anafanya anachoambiwa na kilio juu 'mama usimuite namuogopa'...
Yap, @team_stivini_wasira[emoji23] [emoji23]AKA sura personal.... Nawasalimu kaka zangu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hii sura kazi kweli???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ww Hb kabisa
Haaaahaaaa....Hii sura kazi kweli???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ww Hb kabisa
Acha kabisa na tunajua kuhonga, ndo defense mechanism yetu. Tuwe na sura ngumu hata kuhonga pia tuwe wagumu aahaaahWanaume wenye sura personal wanajua kupenda jamani
Na hamshobokewi shobokewi sana [emoji7][emoji7]Acha kabisa na tunajua kuhonga, ndo defense mechanism yetu
Abeeeh umeniitaWanaume wenye sura personal wanajua kupenda jamani
Aisee!!Wanaume wenye sura personal wanajua kupenda jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Abeeeh umeniita
Huna kaka akoo uko unipe jamani
Ni nini kasmart?Aisee!!