Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Dada yangu,huyu mhuni hana Cha pekee zaidi ya kutetema km amepigwa na shoti ya umeme.Ana nini special? naskia jina tu ningependa kufahamu umarufu wake hasa umetokana na nini ukiacha kuwa ni mchezaji wa Yanga