Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

Sina usemi ila sikujua kama ndo wewe ulikua unafanyia mapigo ya chungulia sasa GuDume alikua anazunguka zunguka kwa nini asingetuambia tu show la kibabe lilikua kati yake na mrembo Demiss
Sawa kuna tatizo
 
Nilitaka tu povu lako mkuu na mrembo wako Demiss, ila kwani mkuu kutoifahamu Dar ni ushamba au kuifahamu ni ujanja?

Kama nakuona ulivyokua unatokwa jasho mzee wa kitambaa cheupe imebidi uigoogle kabisa hotel
 
ACHANA NAO HAO VIGWASU wanataka comments nyingi.

Na maswala ya kusema Demiss ndo Gudume mkomeee kuanzia leo mm ni mwanamke nina kitumbua na manyonyooooo
 
.
Nilitaka tu povu lako mkuu na mrembo wako Demiss, ila kwani mkuu kutoifahamu Dar ni ushamba au kuifahamu ni ujanja?

Kama nakuona ulivyokua unatokwa jasho mzee wa kitambaa cheupe imebidi uigoogle kabisa hotel
 
Na maswala ya kusema Demiss ndo Gudume mkomeee kuanzia leo mm ni mwanamke nina kitumbua na manyonyooooo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Umenikumbusha kiswahili cha wakenya hasa kwenye utafasiri wa DJ afro eti manyonyoooo,
Demiss achana nao mwaya hao wanakuonea wivu tu

Lukwafya
 
kama kwa namna yoyote ile iwe kwa maamuzi yako binafsi au kushawishiwa na mtu uliwahi mara moja au zaidi ya mara moja kuamini uzi wowote wa Gudume anapokuwa ndani ya jukwaa la MMU basi wewe una tatizo fulani la msingi sana na ni vizuri ukamuona mtaalamu wa masuala ya saikolojia.

usijaribu kumuamini huyu mtu akiwa MMU ila unapokutana nae kule INTELIJENSIA huwa ni kisima cha fikra na elimu tosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…