ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Haya maisha ya Ki-Bachelor bado sana sijui kama nitayaacha leo au kesho maana yapo interested sana.
Hapana siwezi kufanya hivo weekend nakuwa home na nilipopanga Watu Ni Wengi na chumbani kwangu hana mazoea ya kuingia ndani ye anaishia nje tu japo na ye sometimes anakujaga kuwa romantically Basi yu kwa kuwa jumapili huwa naka upako flani morning si unajua watu na church lazim uogope kdgHuyo mdada mwishowe utamla
Hiyo romantically nimeilewa sana mkuuHapana siwezi kufanya hivo weekend nakuwa home na nilipopanga Watu Ni Wengi na chumbani kwangu hana mazoea ya kuingia ndani ye anaishia nje tu japo na ye sometimes anakujaga kuwa romantically Basi yu kwa kuwa jumapili huwa naka upako flani morning si unajua watu na church lazim uogope kdg
Chaputa senior memberNayapenda maisha ya kibachela Sina mpanngo wa kuyaacha
kuna videmu vingi tu mtaani...kwa nini usikikifiche kimoja ndani kiwe kinakufuliaNipo yani icho kipengele cha kufua sikipendi ila sina namna bora nipeleke dry cleaner kuliko nifuliwe, hao wanaofua sometimes hawatakatishi nguo na unamlipa. Me huwa najifulia zangu jumamosi au jpili.
kuna videmu vingi tu mtaani...kwa nini usikikifiche kimoja ndani kiwe kinakufulia