Uzi special: Mtongoze hapa ki-utu uzima mkamalizane live

Uzi special: Mtongoze hapa ki-utu uzima mkamalizane live

Nipo bk hapa nani ako serious tuanzishe game, naona wana wanazenguana[emoji41]
 
Kuna Celebrity mmoja na mpendaa sanaa yuko humu na mpendaa ila sasa anajua tabia ya michambo kwa Ke wenzie hadi najiuliza nijiwekejeee....?[emoji7]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Jamani # financial service huko wapi, Niitieni jamani...
 
Nakumbuka kipindi cha nyuma uzi wa namna hii ulikuwepo hapa jukwaani, mimi ni miongoni mwa wanajf nilioufaidi uzi ule
Sasa nimeonelea niurejeshe tena maana haupo humu

Kutongozana kiutu uzima hakuhitaji longolongo nyingi za kitoto, watu wazima hawapangwi ni kueleweshwa tu then unapewa mbususu straight

Pitia hapa mtafute mtu mzima mwenzio mtongoze kiutu uzima mkamalizane!

Mimi namsubiri FaizaFoxy au Kasie nafikiri atanielewa
Namuelewa sana Kasie sijui kwann hafahamu kwani nimekufa sina hali juu yake...[emoji7]
 
Jamani mimi mwanaume hapa nipo Dar nahitaji wakuburudishana,kupeana raha.Njoo PM tuyajenge
 
Back
Top Bottom