Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,499
- Thread starter
-
- #41
Shukrani sana [emoji120]Hongera
Mkuu napenda kuchora sana na kuchonga mapambo mbali mbali ila kwenye kuchora kama ni mtu huwa nashindwa kwenye mikono na miguuni, sijui nifanye nini ili kufikia ndoto yangu[emoji1][emoji1][emoji1] Aah sawa nasubili na mimi nione mfumo wa maisha utanipeleka muelekeo upi
Umetambua ni msanii gani huyu?View attachment 2033100
Ndio zote nachora kwa mkono kwenye karatasi iv... Asante sanaHii umeichora kwa mkono wako mkuu, hongera sana
Kwa kweli kwenye sehemu ya vidole kuunganisha na mkono au mguuni huwa pana shida ata kwangu ila huwa najitahidi tu. Kwenye mikono hua naanza na kucha kwanza af nakuja vidole af namalizia na kiganja chote, ni kama kwenye sura ya mtu huwa naanza na macho kwanza harafu pua halafu mdomo na namalizia sehemu zingineMkuu napenda kuchora sana na kuchonga mapambo mbali mbali ila kwenye kuchora kama ni mtu huwa nashindwa kwenye mikono na miguuni, sijui nifanye nini ili kufikia ndoto yangu
Daaah, kweli Tanzania tumebarikiwa vipaji, ๐๐จ๐ง๐ ๐๐ซ๐ ๐ฎ๐ฉ๐จ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข, ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐๐ค๐ฎ๐ฌ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ฎ๐๐ข๐ค๐ ๐ฆ๐๐๐ฅ๐ขKwa kweli kwenye sehemu ya vidole kuunganisha na mkono au mguuni huwa pana shida ata kwangu ila huwa najitahidi tu. Kwenye mikono hua naanza na kucha kwanza af nakuja vidole af namalizia na kiganja chote, ni kama kwenye sura ya mtu huwa naanza na macho kwanza harafu pua halafu mdomo na namalizia sehemu zingineView attachment 2033138
Ni kweli unayosema nakubali sina ubunifu hii ni kutokana na kwamba hichi kitu huwa tu nafanya kujifurahisha pindi nikiwa sina kitu cha kufanya ila ukweli ni kwamba ubunifu ninao mwingi tu ila huonekana pale napopata challenge ya kushindana na mtu ndipo huwa naonesha ujuzi mwingine wa ziada kwenye uchorajiMchoraji mzuri sana
Shida huna ubunifu wa katika uchoraji