Uzi unaobeba michoro ninayochora kwa mikono yangu na kazi ninazojaribu kujifunza katika Adobe Photoshop

[emoji1][emoji1][emoji1] Aah sawa nasubili na mimi nione mfumo wa maisha utanipeleka muelekeo upi
Mkuu napenda kuchora sana na kuchonga mapambo mbali mbali ila kwenye kuchora kama ni mtu huwa nashindwa kwenye mikono na miguuni, sijui nifanye nini ili kufikia ndoto yangu
 
Mkuu napenda kuchora sana na kuchonga mapambo mbali mbali ila kwenye kuchora kama ni mtu huwa nashindwa kwenye mikono na miguuni, sijui nifanye nini ili kufikia ndoto yangu
Kwa kweli kwenye sehemu ya vidole kuunganisha na mkono au mguuni huwa pana shida ata kwangu ila huwa najitahidi tu. Kwenye mikono hua naanza na kucha kwanza af nakuja vidole af namalizia na kiganja chote, ni kama kwenye sura ya mtu huwa naanza na macho kwanza harafu pua halafu mdomo na namalizia sehemu zingine
 
Daaah, kweli Tanzania tumebarikiwa vipaji, ๐‡๐จ๐ง๐ ๐ž๐ซ๐š ๐ฎ๐ฉ๐จ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข, ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐š๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐ž ๐ฎ๐Ÿ๐ข๐ค๐ž ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข
 
Mchoraji mzuri sana

Shida huna ubunifu wa katika uchoraji
 
Mchoraji mzuri sana

Shida huna ubunifu wa katika uchoraji
Ni kweli unayosema nakubali sina ubunifu hii ni kutokana na kwamba hichi kitu huwa tu nafanya kujifurahisha pindi nikiwa sina kitu cha kufanya ila ukweli ni kwamba ubunifu ninao mwingi tu ila huonekana pale napopata challenge ya kushindana na mtu ndipo huwa naonesha ujuzi mwingine wa ziada kwenye uchoraji
 
Oooh hongera sana uko vizuri mno,
Kuna picha nataka nikupe unichoree, ni kiasi gani kwa picha 1?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ