Niweke kambi hapa, sema jamaa unatokea arusha maana hiyo posti ulivyoi comment alafu ukamalizia na bablai... Wasambaa utawalipa mshahara sh ngapiWazo langu ni kutafuta vijana wa kisambaa Kama watano iv kila mmoja unampa chupa kubwa ya kahawa na kashata kwa mtaji wa laki tu unaweza kuletewa 10000 kila siku bablai
Wanaitwaje ?Uwezi kununua pc karikoo ukauza mtandao ukapata faida utapoteza muda na pesa zako sehemu ambako unaweza kununua bidhaa za Erectronics ukauza kwa bei nzuri ni kutoja Japan au South Africa
Kupitia kwenye hii kampuni ya uwagizaji wa mizigo nemekuwa nikiagiza vifaa mbalimbali kwa bei nafuu sanakutoka South Africa
Dubai
Japan
kupita kwenye plafform yako Natafuta laptop Used aina ya Lenovo corei 7
Ukititaka mizigo yako isichelewe walipe wenye plafrom wana account CRDB na NMB wao wanajua jinsi ya kuwalipa wauzaji kisha wanakupakilia kwenye containe mzigo unachukua mwezi moja kufika.
Unaweza kupata laptop 10 mzuri kwa milini mbili tu.
Huyo mtu wa kariakoo ye anatoa wapi mzigo mkuuUwezi kununua pc karikoo ukauza mtandao ukapata faida utapoteza muda na pesa zako sehemu ambako unaweza kununua bidhaa za Erectronics ukauza kwa bei nzuri ni kutoja Japan au South Africa
Kupitia kwenye hii kampuni ya uwagizaji wa mizigo nemekuwa nikiagiza vifaa mbalimbali kwa bei nafuu sanakutoka South Africa
Dubai
Japan
kupita kwenye plafform yako Natafuta laptop Used aina ya Lenovo corei 7
Ukititaka mizigo yako isichelewe walipe wenye plafrom wana account CRDB na NMB wao wanajua jinsi ya kuwalipa wauzaji kisha wanakupakilia kwenye containe mzigo unachukua mwezi moja kufika.
Unaweza kupata laptop 10 mzuri kwa milini mbili tu.
Tafuta wagogo hau Waha...Wazo langu ni kutafuta vijana wa kisambaa Kama watano iv kila mmoja unampa chupa kubwa ya kahawa na kashata kwa mtaji wa laki tu unaweza kuletewa 10000 kila siku bablai
Yap kweli kabisaBusiness idea
STUDIO + SALOON+ na kufanya miamala ya kifedha tigopesa,halopesa,m-pesa... Ukipta fremu sehemu yenye population ya kueleweka unapiga pesa kinoma...
Hebu eleza vizuri bhana watu tuchangamkie fursa mbona kama unakimbizwadalala 10 kilasiku nalaza milioni.
Daladala unazitengeneza za mbao au?dalala 10 kilasiku nalaza milioni.
wee **** hujui zinapatikana wapi?Daladala unazitengeneza za mbao au?
mkuu una milioni 40 hapo nikufundishe jinsi ya kudanlod hela baada ya miaka 3 kupitia daladala?Hebu eleza vizuri bhana watu tuchangamkie fursa mbona kama unakimbizwa