goldcall
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 416
- 567
Aisee niaje? Naomba Tupeane ideas,iwe ni practical, unachokifanya sio utuletee mawazo ya biashara usiyo ifanya,
Mfano binafsi, biashara ya electronics used kama laptop, unaweza kununua kwa Bei ya chini kariakoo then unauza Bei ya juu kupitia mitandaoni faida ya 50000. Hadi 100000 kwa pc moja..
Leteni idea zingine tupambane wadau
[emoji591][emoji608]
Mfano binafsi, biashara ya electronics used kama laptop, unaweza kununua kwa Bei ya chini kariakoo then unauza Bei ya juu kupitia mitandaoni faida ya 50000. Hadi 100000 kwa pc moja..
Leteni idea zingine tupambane wadau
[emoji591][emoji608]