Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Demiss uache hizo kuna uzi mmoja nilishawahi kukwambia ukweli juu ya tabia zako za kujifanya mrembo sana na kila kitu we uko juu ila ulinitolea maneno makali sana,ubadilike ni hayo
Hiki kitu leo nimeona niseme
Hahahhaha aisee asante kwa hilo jamani sasa ngoja nikupe link ya jibu lako
 
Nataka niwaambie ukweli mchungu wana JF wote kuwa mtakufa tu siku moja hivyo msipende kubeza na kudharau wengine. Msijione matawi ya juu kisa Mungu kakujalia maana huijui kesho yako.

Nawachana kuwa Mungu sio Mzee Mkumba tusema atampendelea mwanae Chalii kila siku na mtu sio jiwe tuseme ukiliweka mahali hata uje mwakani utalikuta pale pale.

Nawaambia ukweli kuwa kama una uwezo wa kuwasaidia wasiojiweza jitoe kadiri uwezavyo. Ishi maisha yako usipende kufuatilia yasiyokuhusu sana, labda kama unaona kuna haki haitendeki na unaweza kusaidia. Kuwa low profile. Jitahidi kuwa neutral siku zote, usifungamane na upande wowote.

Unapopata mda na wadhifa kidogo kula maisha... Nawaambia ukweli mchungu mtajua wenyewe
 
Mimi naomba niwaambie ukweli wale wote mlionitongoza pm jamani msiwe na hasira na mm wengine hata siwakumbuki maaana idadi yenu ni maelfu kwa maelfu ila aliyeshinda ni mmoja mganga kwanini mna kisasi na mimi?
Jamani hebu kuweni na huruma basi ningewafungia pm napo ningesema mm mwanaume sasa maneno ya nini jamani ndo hivyo mganga anakula hiki kitumbua kitamu na kama uliwahi kuonja baadae tukabwagana fanya kama hujui manenomaneno ya nini mbna mm sina sema siwezi kuwakumbuka wotee maana ni wengi haya tuishie hapa kwa leooo
Ahhahahahahaah unanifurahishaga sana Demiss
 
Back
Top Bottom