Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Demiss uache hizo kuna uzi mmoja nilishawahi kukwambia ukweli juu ya tabia zako za kujifanya mrembo sana na kila kitu we uko juu ila ulinitolea maneno makali sana,ubadilike ni hayo
Hiki kitu leo nimeona niseme
Hahahhaha aisee asante kwa hilo jamani sasa ngoja nikupe link ya jibu lako
 
Nataka niwaambie ukweli mchungu wana JF wote kuwa mtakufa tu siku moja hivyo msipende kubeza na kudharau wengine. Msijione matawi ya juu kisa Mungu kakujalia maana huijui kesho yako.

Nawachana kuwa Mungu sio Mzee Mkumba tusema atampendelea mwanae Chalii kila siku na mtu sio jiwe tuseme ukiliweka mahali hata uje mwakani utalikuta pale pale.

Nawaambia ukweli kuwa kama una uwezo wa kuwasaidia wasiojiweza jitoe kadiri uwezavyo. Ishi maisha yako usipende kufuatilia yasiyokuhusu sana, labda kama unaona kuna haki haitendeki na unaweza kusaidia. Kuwa low profile. Jitahidi kuwa neutral siku zote, usifungamane na upande wowote.

Unapopata mda na wadhifa kidogo kula maisha... Nawaambia ukweli mchungu mtajua wenyewe
 
Ahhahahahahaah unanifurahishaga sana Demiss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…