Uzi wa kuambiana ukweli na kuubali ukweli unaoambiwa

Swadakta kabisa Hajar, maneno yako sawiya
 
Mganga yupi MziziMkavu au Mshanajr ?
 
Kwani kutogoza nako ni ushindani
 
Thanks kwa kuwaambia
 
Me nataka kuwaambia ukweli wale wote wanaopenda sifa za kijinga..mara ooh me mzuri ..nina gari nina nyumba nzuri..hv kuna mtu yuko hapa jf analala nje?na siku zote wazuri hawajisifii huwa wanasifiwa sasa nyie mnaohangaika kujitembeza huku mkijibambika sifa zisizo maana inasaidia nn?kaa chini tulia upewe sifa sio uzitafute kwa nguvu..Nawaambia ukweli mnakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…