rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendereo hayana chaama!!!(in jiwe's voice)nachukia sana kusikilza hotuba zinazotaja mambo yale yale kila siku
Leo kitilya angeoga na sabuni tatu maji ya moto na kunyoa kila sehemu kabla ya kuanza mechi lakini wapiHalafu aje kuachiwa Tena kwa kukosekana kwa ushahidi
Mi ni hayo yooote hapo pamoja na mengine. Aaggghh.. yanakera jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubalinakuback up suala la wanawake kuomba omba hela kama vile za kwao au wamekusaida kutafuta...... mi ndo mana nawafinya tu nawaacha wanaumia ila mpaka wakijua tatizo nini basi wanakua wameshadoda
Sent using Jamii Forums mobile app
wanazinguwa mkuu mtu anataka as if alikupa umshikie. Si dharau hizi bro
Baby karibu tule haha mi naonaga ni utoto uliopitilizaKuna zile " baby umevaa nini? " huwa zinanitoa kwenye reli kabisa
Vinanifaa sana unajua shida ni pale umeenda kwenye cha watu kumi halafu humo kuna mijamaa inagonga mara Heinken,Amstel,Dry Savanna,nk halafu wewe unajipigia lisafari lako au libalimi ili ulipuke haraka.Halafu yule mwenye Heinken(4000)anawazungushia wote!!!!Hahahaha wewe mnywa balimi(1500)amani itakuishia pale zamu yako ya mzungusho ikikufikia!!!!.Bado kwenye hao kumi kuna wengine tunaspeed za kibalimi so utaona aibu kujiagizia peke yako so utazungusha mara ya pili wakati wanywa heinken na Savanna wao mdogo mdogo kwa ujanja. Hapa ndo ile tabia ya Mupe Muruke huanzia hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vikao havikufai mkuu hahahaaa
Hasa inakera zaidi mno katikati kabisa akisikia unataka kuurusha anakubania pua "baby ile simu utaninunulia kweli"!!
Hizo zipo sana mkuu na beer za hivyo huwa ni za kutiana hasara bora kila mtu asimamie show yake kimpango wake lakini sio kuleta issue za zungusha kuna mabwege zao ndio hizo ikishafika zamu yake hatulii kwenye kiti hahahahaVinanifaa sana unajua shida ni pale umeenda kwenye cha watu kumi halafu humo kuna mijamaa inagonga mara Heinken,Amstel,Dry Savanna,nk halafu wewe unajipigia lisafari lako au libalimi ili ulipuke haraka.Halafu yule mwenye Heinken(4000)anawazungushia wote!!!!Hahahaha wewe mnywa balimi(1500)amani itakuishia pale zamu yako ya mzungusho ikikufikia!!!!.Bado kwenye hao kumi kuna wengine tunaspeed za kibalimi so utaona aibu kujiagizia peke yako so utazungusha mara ya pili wakati wanywa heinken na Savanna wao mdogo mdogo kwa ujanja. Hapa ndo ile tabia ya Mupe Muruke huanzia hapa.
Bado kwenye kumi kuna mijamaa kama mitatu yenyewe ikishanunua ile bia ya kwanza hainunui tena inavazia bia ikikaribia kuisha ndo simu zinaanza kuwa busy na chooni kwa sana kusudi akute ameishazungushiwa kinywaji,ndo utashangaa Bill inakuja unaanza ukitolea mimacho wewe unadaiwa 35000 mwingine anadaiwa 3500.
So bro ili husiende nyumban kichwa kinauma ni heri kila mtu anunue kinywaji chake kulingana na balance yake na huku kikao kinaendelea.
Yaani bro Mimi ndo uwa ndo sera ukinunulia kinywaji mimi sikununulii ili next time husijaribu ila km ni chakula tunaweza kushare Bill bila shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakutafutia timing anajua hapa kwenye nonihino hapa hawezi kukataa, linapokuja suala la pesa mwanamke hana hurumaHasa inakera zaidi mno katikati kabisa akisikia unataka kuurusha anakubania pua "baby ile simu utaninunulia kweli"!!
Mimi hujibu ndio halafu ukimaliza kumchakaza unamuuliza ulikuwa "unasemaje"?Anaanza kujiuma uma
"Nikipata pesa nitakununulia"
Sent using Jamii Forums mobile app