Uzi wa kuandika maneno yenye busara kwa kuanzia na "Nimejifunza ya kwamba....."

"Nimejifunza ya kwamba anaetaka watu wamsikilize basi na yeye awasikilize"
 
Nimejifunza kwamba usimuamini mwanamke anaesema HUYU MWANAUME SIMPENDI ANANISUMBUA SANA
 
Nimejifunza kwamba tuwe tunasikia maumivu ya watu wengine..
Mfano Wagonjwa,yatima,wenye kesi,watoto wa mtaani,wazee etc
 
Nimejifunza kwamba maendeleo ya taifa hili yanakwamishwa na ongezeko la wadangaji na wapiga mizinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…