Na mimi tulikuwa tunaongea kinyihaNi kindali? yako wewe ni ipi
Haha basi Mna vichwa vizuriNa mimi tulikuwa tunaongea kinyiha
Kama ulienda ukiwa mkubwa ni ngumu kujuaHaha basi Mna vichwa vizuri
Maisha yangu mengi nimekulia shinyanga lakini nimetoka bila, bukoba nimekaa miaka minne napo bila, mbeya nimekaa miaka 3 na huwa narudi rudi Mara kadhaa ila bila napo.
Waitu mwabonayoki?
Ni hivyo ila namna nilivyo itamka mimiKinyiha habari ya kazi wanasemaje
Γava biΓ©n,hahahahh!el lΓ tex, les algues marines, la parella casada i el final del dia la llengua del paΓs sencera nomΓ©s serΓ suahili ...
Kufanya nini wakati bibi,babu,shangazi,baba Mkubwa,baba mdogo wote wanaishi mjini......Aiseee[emoji16][emoji16]
Huwa huendi kijijini kusalimia??
Aisee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3] mimi pia si kilugha changu, sio hata mwenyeji wa mkoa huo ila niliwahi kukaa huko
Ndio maanaKufanya nini wakati bibi,babu,shangazi,baba Mkubwa,baba mdogo wote wanaishi mjini......
Hahaha hongera
ππππ kumbe umeniona Mtani.Kwaiyo umeamua kupita kimya kimya mndele hutaki nifundisha kabisa kinguu Shadeeya
Mwaka huu narudi bushππππ kumbe umeniona Mtani.
Nawaona na Mndali ndanyelakakomu mnavyozichakata lugha. πππ
Taitu kalesa, mwalindauli kuo?Posuta kung'anda
Mazala=madharahaya ndio mazala ya kukulia mjini nimezaliwa muhimbili nimekulia mnazi mmoja mkuu: hakika lugha na yoongea kwa ufanisi ni hii lugha yetu tamu ya kiswahili.
Kwaiyo? Acha utoto kuwa pumbavu weweMazala=madhara