Uzi wa kuchati Kilugha

Status
Not open for further replies.
Wasemakweli tunaoonekana waalifu wa mtandao wakati huu wa awamu ya jiwe tuna mashaka na huu uzi hasa ktk kujuana kabila maana inaweza kuwa njia ya kutiwa nyavuni kama sio kuokotwa coco.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
لا بأس ، اللغة السواحيلية هي لغة وطنية
 
Wale tulio kimbia South Afrika,pita hapa tubonge Kingoni..
Nyinyi ndio wehu kabisa. Mmekimbia Jo'burg, Durban, Pretoria mkaenda kukaa Songea.....kama haitoshi mmejipa na majina ya wanyama. Miaka yote supastaa wenu Bambo. Mkapimwe mkojo walahi.[emoji1][emoji3][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…