Uzi wa kuchati Kilugha

Uzi wa kuchati Kilugha

Status
Not open for further replies.
Huyu jamaa ana ujasiri Hadi shetani atamshangaa
Yaani alikuwa anaulizwa maswali hapa na anajibu kabisa
"Mara dawa nanunua kila atakapoandikiwa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ujasiri wa kudanganya watu namna hii sijawahi uona[emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kamshinda jamaa wa forex
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kamshinda jamaa wa forex
Huyu jamaa noma Sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena anasisitiza kwamba Kama hamumuamini muende hospital anataja Hadi ward no[emoji119][emoji119][emoji119]
Huu Ni utapeli wa kijasiri sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa noma Sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena anasisitiza kwamba Kama hamumuamini muende hospital anataja Hadi ward no[emoji119][emoji119][emoji119]
Huu Ni utapeli wa kijasiri sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu jamaa hatakiwi kupigwa ban haiwezekani mkongwe kama Mshana Jr apigwe za uso yaani kakusanya vimia mia vyetu kanywea balimi
 
Majamaa mabwege haya yakija sido mbeya tunayauzia sketi tunayaambia ni kaushi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usinichekeshe mimi aghh chezea wanyiha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usinichekeshe mimi aghh chezea wanyiha
Yaani nikama masukuma yanarafudhi mbaya ila yanaongoza ujambazi wakuteka magari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji5]yaani ningekua mnyiha ningejinyonga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom