Uzi wa kujuana

Uzi wa kujuana

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,070
Reaction score
4,698
Poleni na majukumu wazee wezangu na wanangu pia, najua mmechoka sana huu utawala wa liganga (jiwe) but msijali aya yote mapito tu na mwisho itakua ni mwakani kama tutaamua kulitoa ili liganga

Najua wengi wetu tunapata shida sana kutambuana kutokana na id tunazotumia

Leo nimeamua niwaletee uzi simple utaosaidia tuweze tambuana japo ni kwa kuotea jina la mtu

Mtu atakua anataja herufi ya jina Lake ya mwanzo na ya mwisho afu anaefatia anaotea na yeye kundika herufi ya mwanzo na ya mwisho ya jina Lake

Nianze mimi

S...... N

Karibuni uzi unaendele unaruhusiwa kuotea
 
Ok wanakuja kukupa sapoti najua great thinker wengi wanamchukia magufuli na wameona umemkandia.
 
Poleni na majukumu wazee wezangu na wanangu pia, najua mmechoka sana huu utawala wa liganga (jiwe) but msijali aya yote mapito tu na mwisho itakua ni mwakani kama tutaamua kulitoa ili liganga

Najua wengi wetu tunapata shida sana kutambuana kutokana na id tunazotumia

Leo nimeamua niwaletee uzi simple utaosaidia tuweze tambuana japo ni kwa kuotea jina la mtu

Mtu atakua anataja herufi ya jina Lake ya mwanzo na ya mwisho afu anaefatia anaotea na yeye kundika herufi ya mwanzo na ya mwisho ya jina Lake

Nianze mimi

S...... N

Karibuni uzi unaendele unaruhusiwa kuotea
Wewe Steven
 
Back
Top Bottom