Uzi wa kujuana

Uzi wa kujuana

Pita kwa kunyata kabisa.. halafu nina hamu na futari ya pale Golden Fork ya makumbusho [emoji20][emoji20][emoji20]
Kabla ya mfungo kuisha nitakuita upate futari hapo hapo ulipo pachagua...[emoji6][emoji6] ngoja tarehe zisogee kidogo
 
SAmahani mkubwa usiwaingize vijana kwenye mtego wakafatwa na watu wasio julikana!!
Maxcence amejitahidi kuficha!!
Tuwe waungwana Walumumba ni hatari!!
 
Back
Top Bottom