Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Babu mimi nawatakia Pasaka njema wajukuu zangu wote katika jukwaa hili. Woooote.... yaani hata kwa wale mashabiki wa Yanga...

Heri ya Pasaka ya pekee iende kwa mke wangu Sky Eclat na mchepuko wangu wa hiari na wa kudumu Sakayo

Kristo amefufuka kwelikweli, Haleluya!
Asprin wewe una mchepuko na mimi nitafute tawi?
 
Salamu zako za pasaka ziwaendee hawa wapendwa wangu,wanaonifanya daily tabasamu lisipungue usoni kwangu....
Demiss na mume wake
Shunie
Mzigua90 na mume wake(celapha nini sijui,nimeshindwa kuandika)
Usser
Iceman 3d
Mwifwa
Jakito(omwana wane)
Ledada(my wangu)
Mr Miller
Joowzey
Jirani yangu Ambiele
Kaka angu Theorymenology(nna shida kwenye spelling)
Pyaar
Happy easter shem

We love uùuuu




I love you[emoji11][emoji11][emoji11]
 
Na penda kutuma salamu za pasaka kwa wafuatao

Neybright
Sakayo
Mrs Van
Inna
Mzigua90 na cephalocaudo
jje's na Kichwa Kichafu
Thad
Shunie na Davet
Jolie Jolie na hazard cfc
mumu na Mr Miller
Demiss na Mshana Jr
usser
Afande Mifwa
Sir Manga ML na Maserati
ledada
Sky Eclat

Queenever
Da Lu
carbamazepine
Mama Sabrina
geniveros
hearly
Numbisa
ISIS
Nalendwa
espy
Samaritan
Ahsanteni woote kwa upendo mnao nionesha nawakubali saaana wengine mmekuwa ndugu zangu kabsa humu.

Special thanks kwa ndugu zangu woote wa, threads za
Usiku wa manane -nna wathamini sana nyie watu
Hadithi zote za Shunnie
Real Madrid na Barcelona
Man utd na Juventus
Yanga
Shukrani sana! Karibu nyumbani tule wote pasaka [emoji490] [emoji491] [emoji485]
 
Back
Top Bottom