Uzi wa kumtakia Pasaka njema umpendaye

Hahah!! Aisee mkuu umenifurahisha ila nitajitahidi nisifanye kosa
Babe achana nao yote hiyo ni wivu wana hamu ya kunimiliki kibonge mm lakini hawaniwezi nani ataweza nibeba kama unavyonibeba kuna mda namwambia Mungu wangu kwa nini hajanionyesha mapema

[emoji8][emoji8][emoji8] nakupenda D wangu mm D wa shunie tu nyakunyaku ole wenu niwajue mkae mbali
 
Lets have a man to man talk Chief, huyo hana wala hajali kwamba wewe unajitahidi, siku akiamua anakumwaga na kukumiminia mbali kama hakujui.

Malizia kusherehekea pasaka kwa raha zako mkuu. Shake well before use
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyie jamaa mnakuwa wakweli mnooo tatizo lenu
Waacheni.
Mi nawakubali
 
Lets have a man to man talk Chief, huyo hana wala hajali kwamba wewe unajitahidi, siku akiamua anakumwaga na kukumiminia mbali kama hakujui.

Malizia kusherehekea pasaka kwa raha zako mkuu. Shake well before use
Khaaaaa msiniharibie jamani nimeingia miguu miwili hapo nikiachika nakufwa baba yeyoo una nini lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…