miss IQ
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 848
- 1,196
Habari zenu,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika ,kama itawapendeza madereva na wahitaji wa huduma za usafirishaji wa mizigo mbalimbali ndani na nnje ya Tanzania, mjaribu kutaja/ ku share routes zenu kwenye huu uzi ,ili isaidie wale wanaokuwa na uhitaji wa huduma hiyo kwa lengo la biashara.
Binafsi nahitaji gari ya route ya
Kilombero - Arusha
Kilombero/mikumi - kagera
Kilombero - mwanza
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika ,kama itawapendeza madereva na wahitaji wa huduma za usafirishaji wa mizigo mbalimbali ndani na nnje ya Tanzania, mjaribu kutaja/ ku share routes zenu kwenye huu uzi ,ili isaidie wale wanaokuwa na uhitaji wa huduma hiyo kwa lengo la biashara.
Binafsi nahitaji gari ya route ya
Kilombero - Arusha
Kilombero/mikumi - kagera
Kilombero - mwanza