Uzi wa kupeana ma buse Bora na Bora nifike je tupande ma bus gani?

Uzi wa kupeana ma buse Bora na Bora nifike je tupande ma bus gani?

makilo

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
2,620
Reaction score
5,260
Naanza na mbazi Arusha/dar.
Ili ndinga Kama ukifika stendi na kulikuta kwa jinsi linavyovutia lazima ulikimbilie.siku hiyo nikalipanda kutoka Arusha mpaka dar nikafika sa 5 usiku Kila kituo linapakia na linasimama.

Happy national hili ni la Bei kubwa nilipanda kutoka dar mwanza tukafika sa 9 usiku mwanza.ila kwenye huduma na uaminifu wako poa sana.

Al star,ebwana Kama una roho nyepeai achana nalo kabisa nilipanda mwanza to dar tukaingia sa 4.yani wale madereva kipaumbele Chao kuwahi kesho wageuke Kuna dogo mwarabu anagonga GIA utazani yupo kwenye rali.

Abood tunduma dar ili sio lakupanda Yani unaweza shuka ukakojoa na ukaliwai,Yani mwendo wa konokono tunduma dar siku 2.

Kuna hili sauli nalipenda Sana mwendo wao sio rafiki mwendo wa mibio ya kufa mtu.yani tulikuwa tunakimbizana Prado Stk Dfp,stj na zote tukaziacha nyuma Kila zikitupita ni sehemu za misosi ila jamaa wakianza kupiga gia tunazikuta njiani na tunaziacha.

Jee kwa wewe mdau ni bus gani uwezi kupanda na ni kwaajili gani karibu hapa tupeane uzoefu.
 
Tulitoka dar na sai baba kufika tanga ni usiku taa zinawaka na kuzima ikabidi dereva atumie tochi, ila tulifika.

Ukitoka dar na sai baba unaweza kuoa kwenye gari na ukafika arusha mke ana mtoto.

Niliwahi kupanda coast line arusha to mara kupitia serengeti, tukafika porini kabisa kuna wanyama jamaa mmoja akashuka dereva akamuuliza huku porini unaenda wapi? Jamaa aliwaka kinoma.

Tulirushwa rushwa lakini tulitalii bure.
 
Tulitoka dar na sai baba kufika tanga ni usiku taa zinawaka na kuzima ikabidi dereva atumie tochi, ila tulifika.

Ukitoka dar na sai baba unaweza kuoa kwenye gari na ukafika arusha mke ana mtoto.

Niliwahi kupanda coast line arusha to mara kupitia serengeti, tukafika porini kabisa kuna wanyama jamaa mmoja akashuka dereva akamuuliza huku porini unaenda wapi? Jamaa aliwaka kinoma.

Tulirushwa rushwa lakini tulitalii bure.
Hahahahahah dah hatari hii
 
Boss hapo abood umepuyanga, abood, golden deer na saul ndio zinakimbizana Tdm-Dar mda wote sem upuuzi wa abood ni ikifika morogoro lazima iingine kule gerejini kwao mnapoteza hata saa zima huko
 
Boss hapo abood umepuyanga, abood, golden deer na saul ndio zinakimbizana Tdm-Dar mda wote sem upuuzi wa abood ni ikifika morogoro lazima iingine kule gerejini kwao mnapoteza hata saa zima huko
Abood bwana kule anapeleka ma bus yaliyojichokea.nazani mtemi wa Ile njia ni sauli.
 
Tulitoka dar na sai baba kufika tanga ni usiku taa zinawaka na kuzima ikabidi dereva atumie tochi, ila tulifika.

Ukitoka dar na sai baba unaweza kuoa kwenye gari na ukafika arusha mke ana mtoto.

Niliwahi kupanda coast line arusha to mara kupitia serengeti, tukafika porini kabisa kuna wanyama jamaa mmoja akashuka dereva akamuuliza huku porini unaenda wapi? Jamaa aliwaka kinoma.

Tulirushwa rushwa lakini tulitalii bure.
Saibaba ni kweli kabisa,lile dude sipandi tena, nilipanda siku moja Moshi- Dar saa nane mchana Dar tumeingia saa kumi na moja alfajiri kesho yake.[emoji23][emoji23]
 
Mwanza to Dar Ally's ile sio Basi Bali Ni ndege ya chin ilikosa mabawa tu .
Customer care Safi kabisa .
Mwendo Ni mbio mbio kias kwamba hata Kama ulipata fununu za mkeo kuliwa guest unaweza fumania chap chap kwa sababu utafika on time guest na panga mkononi.
 
Saibaba ni kweli kabisa,lile dude sipandi tena, nilipanda siku moja Moshi- Dar saa nane mchana Dar tumeingia saa kumi na moja alfajiri kesho yake.[emoji23][emoji23]
Nilipanda lile la sumbawanga dar pale mikumi sa 3 usiku,tumeingia dar sa 11 asubuh Kuna wadudu wanauma hao hatari.
 
Mwanza to Dar Ally's ile sio Basi Bali Ni ndege ya chin ilikosa mabawa tu .
Customer care Safi kabisa .
Mwendo Ni mbio mbio kias kwamba hata Kama ulipata fununu za mkeo kuliwa guest unaweza fumania chap chap kwa sababu utafika on time guest na panga mkononi.
Kaka kwa sie tunaopenda kuwahi na tusiopenda kupitwa hata na coster Hilo ndio bus letu wale majamaa nadhani wamenunua njia.walitoka sa moja mwanza ila dom waliingia sa 10.
 
Kaka kwa sie tunaopenda kuwahi na tusiopenda kupitwa hata na coster Hilo ndio bus letu wale majamaa nadhani wamenunua njia.walitoka sa moja mwanza ila dom waliingia sa 10.
Walifanya uzembe wapi? Mbona walichelewa hvo aisee
 
Walifanya uzembe wapi? Mbona walichelewa hvo aisee
Bus haikuwa sawa,tulivyotoka nalo mwanza tukaja mpaka pale stand Yao tukapewa ofa ya chai na bite Kisha tukafaulishwa kwa huyo Mtoto wa kiarabu.
Bus Zima tulikuwa kimya kila mtu anapiga Sara ya saramu maria.
 
Mimi binafsi ni Sauli team,Dar to Tunduma ndio bus ya uhakika, kwanza ipo on time, speed, reliable na madereva wake they real drive on our highway sio madereva wa Abood they just taking a bus for a walk ndani ya freeway!jana sisi member wa road trip nimepishana na Sauli za Tunduma/Mbeya kona za Iyovi saa 6mchana zikielekea nyanda za juu.
 
Back
Top Bottom