Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Kama umejichokea na maisha panda gari la "CLASSIC" dar to lubumbashi ....aiseee safar ni ya siku 2 na ila wanapiga gia kama rally.
amna tuta , amna kusimama ni kibati...yani hata abiria wa njiani linashusha huku linatembea taratibu ....mzeee ni hatar
amna tuta , amna kusimama ni kibati...yani hata abiria wa njiani linashusha huku linatembea taratibu ....mzeee ni hatar