Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Kuna big wa new force naskia nae hatar Sana huyo jamaa.Mimi binafsi ni Sauli team,Dar to Tunduma ndio bus ya uhakika, kwanza ipo on time, speed, reliable na madereva wake they real drive on our highway sio madereva wa Abood they just taking a bus for a walk ndani ya freeway!jana sisi member wa road trip nimepishana na Sauli za Tunduma/Mbeya kona za Iyovi saa 6mchana zikielekea nyanda za juu.
Hahahahaaa one day nitajalibu c tunduma inashusha hiyoKama umejichokea na maisha panda gari la "CLASSIC" dar to lubumbashi ....aiseee safar ni ya siku 2 na ila wanapiga gia kama rally.
amna tuta , amna kusimama ni kibati...yani hata abiria wa njiani linashusha huku linatembea taratibu ....mzeee ni hatar
Sio wadudu sema kunguni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2924][emoji2924]Nilipanda lile la sumbawanga dar pale mikumi sa 3 usiku,tumeingia dar sa 11 asubuh Kuna wadudu wanauma hao hatari.
Jamaa wangese sana kuna siku aliingia tunduma saa tisa uskuKuna siku nilipanda nilijuta Yani Toyo inatupita Kama tumesimama.