Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Kama una 20000 njooo inbox nikuunganisha na mmoja yupo Tanga ni kiboko Hadi waganga wengine huenda kwake kuchukua ushauri jamaa ni moto wa kuotelea mbali na hana gharama
Mwenye connection ya mganga anayetibu maradhi Kwa ustadi wa hali ya juu anisaidie.

Awe Kanda ya ziwa hasa hasa Geita
 
Kama una 20000 njooo inbox nikuunganisha na mmoja yupo Tanga ni kiboko Hadi waganga wengine huenda kwake kuchukua ushauri jamaa ni moto wa kuotelea mbali na hana gharama
 
Kama una 20000 njooo inbox nikuunganisha na mmoja yupo Tanga ni kiboko Hadi waganga wengine huenda kwake kuchukua ushauri jamaa ni moto wa kuotelea mbali na hana gharama
 
Kuna siku nimeenda kwa ishu zangu ili zinyooke nikakuta yule mganga ni mdada pisi kali kweli kweli akachukua noti fulani ya zamani imechakaa akanambia tema mate kwenye hii noti kisha akachukua shilingi za zamani zimetoboka katikati akapanga kwenye kila pembe

Nitarudii
 
0624558418 namba yake hio sema hafanyi kazi chafu yeye anasaidia TU shida mbalimbali hana dawa ya utajiri 😂useme unataka uroge mtu uuwe hakubali na kama jambo haliwezi anakuambia ukweli hili muone mtu flani ataliweza ni kaka yangu mwenyewe yupo Dar.
 
Hadi ww? Mke wangu umeamua uniloge sio!

Mbingu hutoiona ndo maana siku hizi nimejikuta nakupa hela zangu zote kama zuzu vile kumbe hii ndo kazi yako? 😔
 
Kuangaika kote unataka Tiba ya matatzo au Ugonjwa gan......?
 
Meatu kijiji gan umezaliwa na kuishi mzee, mimi Bulyashi hapo.
Chimbuko kabisa la mababu zangu ni mbaragane wilaya ya maswa, Kijiji cha mandang'ombe na mwezi may tu nilienda kupalilia makaburi ya mababu wa mababu zangu.

Yule jamaa ambaye taarifa zake zimetangazwa jf juzijuzi aliyefungwa kwa kumuoa dada yake nilibahatika kuonyeshwa na ndugu yangu.

Mi nimezaliwa kijiji kinaitwa gabhale (maswa) mzee alihamia mwanhuzi nikiwa na miaka 4. Babu miaka hiyo kwenye kutafuta malisho ya mifugo alijikuta amehamia NATA na family yake, NATA ni jirani kabisa na kwenu.

Kuna Doni mmoja apo kwenu bulyashi ameibuka anaitwa Dona unamfahamu?

Pia miaka ya jambo cup 2014 nimekichafua sana bulyashi na timu yangu ya mshikamano.
 
Mtume mwenyewe alirogwa. Natamani nijue umri wako na pia ni nini haswa hadi msirogeke kwa ukoo wenu.!!
Mimi Huwa naandikaga pesa zangu Toka nizaliwe sijawahi poteza hata 50 yangu ila Kuna ya mtu 8000 elfu 5 ilipoteaga sijui ilianguka au





Ukoo wetu hatulogeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…