Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

Kama una 20000 njooo inbox nikuunganisha na mmoja yupo Tanga ni kiboko Hadi waganga wengine huenda kwake kuchukua ushauri jamaa ni moto wa kuotelea mbali na hana gharama
Mwenye connection ya mganga anayetibu maradhi Kwa ustadi wa hali ya juu anisaidie.

Awe Kanda ya ziwa hasa hasa Geita
 
Kama una 20000 njooo inbox nikuunganisha na mmoja yupo Tanga ni kiboko Hadi waganga wengine huenda kwake kuchukua ushauri jamaa ni moto wa kuotelea mbali na hana gharama
 
Kama una 20000 njooo inbox nikuunganisha na mmoja yupo Tanga ni kiboko Hadi waganga wengine huenda kwake kuchukua ushauri jamaa ni moto wa kuotelea mbali na hana gharama
 
Kuna siku nimeenda kwa ishu zangu ili zinyooke nikakuta yule mganga ni mdada pisi kali kweli kweli akachukua noti fulani ya zamani imechakaa akanambia tema mate kwenye hii noti kisha akachukua shilingi za zamani zimetoboka katikati akapanga kwenye kila pembe

Nitarudii
 
0624558418 namba yake hio sema hafanyi kazi chafu yeye anasaidia TU shida mbalimbali hana dawa ya utajiri 😂useme unataka uroge mtu uuwe hakubali na kama jambo haliwezi anakuambia ukweli hili muone mtu flani ataliweza ni kaka yangu mwenyewe yupo Dar.
 
0624558418 namba yake hio sema hafanyi kazi chafu yeye anasaidia TU shida mbalimbali hana dawa ya utajiri 😂useme unataka uroge mtu uuwe hakubali na kama jambo haliwezi anakuambia ukweli hili muone mtu flani ataliweza ni kaka yangu mwenyewe yupo Dar.
Hadi ww? Mke wangu umeamua uniloge sio!

Mbingu hutoiona ndo maana siku hizi nimejikuta nakupa hela zangu zote kama zuzu vile kumbe hii ndo kazi yako? 😔
 
Huu Uzi Maalumu wa Kupeana Connection Za Waganga wa Kienyeji na Shuhuda Mbalimbali.

Kikubwa Toa Shuhuda Elezea Location Alipo Mawasiliano sio Muhimu kwa Kuwa watembeaji ni Watu wa Kujiongeza.

Nitaanza mimi.

1. Mganga wa Kwanza Nilikutana Naye kigoma Huko wilaya Ya Kakonko , Alikuwa Mama wa Makamo Mwenye Mguu Mbovu , Yule Mama Alikuwa Kiboko Aisee Akikufanyia Jambo Lazima lishike.

Kwanza Ukifika Kwake Kazi Anafanya Asubuhi tu Saa 12 mpka sa4 mwisho , Ukiingia Tu Unakutana na Kitambaa Ukutani kama Kuna Wabaya waliowahi kukufanyia kitu kibaya wote utawaona pale na vitu vyote walivyokufanyia , Mkishaangalia pamoja ndio Anaanza Matibabu.

Huyu ndiye aliyenifanya niamini baadhi ya Mambo tunayo yaonaga kwenye muvie za Kinigeria kuwa Yapo . Alikuwa kiboko sanaa kwa maradhi ya kimwili na wale wanaotaka hela za masharti . Kwa bahati mbaya mwaka jana niliambiwa amekufa kamwachia mtoto wake sijajua kama huyo mtoto atakuwa balaa kama Mama yake.

2. Nikajongea maeneo ya Biharamulo huko Nilikutana na Fundi ambaye anapiga Ramli Usiku yani huyu ni kiboko ya Wasiri , Nikienda pale akianza ramli anauwezo wakumuita mtu yoyote popote Alipo atakuja na Atatoa siri zote yaani ataongea kila kitu . Huyu nilikutana na baadhi ya viongozi wanaofichuaga siri za watu ila huyu mganga naye nilimwamini kwa kiasi fulani ingawa sikupata tiba kwake mana nilienda kuwasikiliza na kuwaita baadhi Ya watu.

3. Kuna mmoja Nilienda kwake Aisee huyu yeye nilimuona hamna kitu alikuwa maeneo ya Ukerewe kwanza picha inaanza kila alichoniambia alinambia vitu ambavyo sijawahi fanya wala kunikuta ila akawa anakomaa kuwa hayo ndo matatizo yangu yule mzee nilimkubalia ila nilivotoka sikurudi kabisa.

4. Kuna Mganga Nilikutana Naye maeneo ya Bagamoyo ni shehe yeye anatumia visomo binafsi sio muumini sanaa wa kusomewa kwani naona ni sawa tu na kuombewa unaweza fanikisha au usifanikishe , Yule mzeee Alinipeleka baharini Tukavunja nazi na Kusoma Dua zao zile ila yule kilichonipeleka sikukufanikisha Japo wenyeji walikuwa wakimsifia sanaa.

Nishakutana na waganga wengi mpka wa Dar es Salaam wakweli na Waongo ila Asikudanganye mtu Ukiamua kuamini waganga wapo watakaokusaidia na wapo watakaokupoteza kikubwa ni Kuwatambua tu , Uzuri ukishakuwa mtembeaji sanaa Huwezi Danganywa kinjinga.

Mi ngoja niishie hapa wengine endeleeni mtoe mliyokutana nayo kwa Waganga huko , saivi natafuta connection ya Kwamsisi kuna mambo nataka nikawaone Nao Ujuzi wao
Kuangaika kote unataka Tiba ya matatzo au Ugonjwa gan......?
 
Meatu kijiji gan umezaliwa na kuishi mzee, mimi Bulyashi hapo.
Chimbuko kabisa la mababu zangu ni mbaragane wilaya ya maswa, Kijiji cha mandang'ombe na mwezi may tu nilienda kupalilia makaburi ya mababu wa mababu zangu.

Yule jamaa ambaye taarifa zake zimetangazwa jf juzijuzi aliyefungwa kwa kumuoa dada yake nilibahatika kuonyeshwa na ndugu yangu.

Mi nimezaliwa kijiji kinaitwa gabhale (maswa) mzee alihamia mwanhuzi nikiwa na miaka 4. Babu miaka hiyo kwenye kutafuta malisho ya mifugo alijikuta amehamia NATA na family yake, NATA ni jirani kabisa na kwenu.

Kuna Doni mmoja apo kwenu bulyashi ameibuka anaitwa Dona unamfahamu?

Pia miaka ya jambo cup 2014 nimekichafua sana bulyashi na timu yangu ya mshikamano.
 
Mtume mwenyewe alirogwa. Natamani nijue umri wako na pia ni nini haswa hadi msirogeke kwa ukoo wenu.!!
Mimi Huwa naandikaga pesa zangu Toka nizaliwe sijawahi poteza hata 50 yangu ila Kuna ya mtu 8000 elfu 5 ilipoteaga sijui ilianguka au





Ukoo wetu hatulogeki
 
Back
Top Bottom