Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

Sasa hamna pesa unafurahia nini? Aaah bwana we hebu usitufunge kamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia pesa hamna unafikiri ni kwamba mnalala njaa? Nop, spare money ndio huwa inakosekana mara nyingi so hamna shopping wala outing! Ni mapambano tu ya surviving R.Kelly 😸😸😸

Hiki ndio kinawatesa wengi mnaodhania mapenzi ni pesa na kutesa kila siku! Ila wanaoelewa kuwa life iko dynamic hawapati tabu!
 
Yani hata niwe na mamilioni ila nikimuomba husband ananipa kwa moyo yani kuna siku najisikia tuu anipe yy hela ya kifurushi au maybe nataka kufuli mpya sio kwamba sina hela ila kwa sbb nafurahia uwepo wake na ninafurahia zaidi akinipa yy au kuninunulia yy. Zaidi kuna security kubwa akiwepo yy. Mungu tulindie waume zetu japo tunapishana sometyms but we know ni sehemu ya ubindamu kwa sbb hatuko wakamilifu.
 
Si mnaona wenyewe wanvyosema
Pesa ndo Kila kitu,
Kama huna pesa au umefulia utaona Bora usingeoa, tu
Mbaya zaidi awe na mashosti wenye madanga au wapo vizuri kifedha

Vijana Kama hamna hela msiooe
Gonga tu akizingua msepeshe kwao
Kisha tafuta pesa ;
 
Si mnaona wenyewe wanvyosema
Pesa ndo Kila kitu,
Kama huna pesa au umefulia utaona Bora usingeoa, tu
Mbaya zaidi awe na mashosti wenye madanga au wapo vizuri kifedha

Vijana Kama hamna hela msiooe
Gonga tu akizingua msepeshe kwao
Kisha tafuta pesa ;
Hujanielewa. Reserve your comment
 
Anza wewe
 
Napenda sana kuona wanandoa wakipendana sana uwa natamani sana namuomba Mungu anipe mke wa kufanana nae maana nina mapenzi ya dhati and am real gentleman najua kupenda kwa vitendo
Trust me, utapata wa kufanana nae mwenye genuine love. Mwamini Mungu na tumia akili kuliko hisia kwenye kufanya selection, you will get the right one for you. Sikuzote niliamini wanawake wema na bora wapo na mwisho wa siku nikapata nilichoamini. All the best mkuu, nakuombea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…