Uzi wa kushuhudia mazuri ya kwenye ndoa, Tuyaweke pembeni yale mabaya yanayowatia hofu watu wasioe au kuolewa

Sasa unataka tukae tu tumetulia hamna hata kaugomvi kidogo aah lazima nikuchokoze tu uchangamke[emoji3][emoji3] nakupiga hata konzi tu nikuone[emoji2088]
Umenikumbusha Joti(Kiboga) aliolewa tokea uswahilini akakuta familia yenye mama mkwe, wifi lakini hamna anayemchokoza! Akalianzisha.. akidai anataka changamoto eti nyumba haina VIBE!
 
Yap coz uko mpuuz Sana,,,,,,, uzi unataka mazuri y ndo wewe unadai tutaachana Ili umuoe wewe mke wangu,,,,???? Na watoto wataishije tukisha achana....?????

Non sense

Kwahiyo unateseka kusikia mtaachana! Unadai una furaha kumbe pia una hofu, endeleeni kujitekenya.
 
Umenikumbusha Joti(Kiboga) aliolewa tokea uswahilini akakuta familia yenye mama mkwe, wifi lakini hamna anayemchokoza! Akalianzisha.. akidai anataka changamoto eti nyumba haina VIBE!
Wifi anafagia, Kiboga anarudishia taka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…