financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Bado dear, yaani hadi nimechoka kutafuta sasa[emoji19]Hv bado haujapata tu jirani?!
[emoji23][emoji23] Utasikia pale utakapoona tag yangu ambapo utakuja kujibu hiyo thread nitakayo kufungulia tuongee kwa kina mm na ww. [emoji6]ahahaaaa umeona utumie kipaza sauti kabisa ila bado sijasikia[emoji23][emoji23]
Bado dear, yaani hadi nimechoka kutafuta sasa[emoji19]
Hahaha IPO kama haipo.Bado dear, yaani hadi nimechoka kutafuta sasa[emoji19]
[emoji23][emoji23] Utasikia pale utakapoona tag yangu ambapo utakuja kujibu hiyo thread nitakayo kufungulia tuongee kwa kina mm na ww. [emoji6]
Usipokuja ndio nitakapoelewa dhahili kuwa roho mbaya zipo na nitakuweka ignore list kabisa 😆😆😆 nisikuone.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] labda, ila sina uhakika kama nitasikia napo
Wanaogopa nini au hii flat screen [emoji3][emoji3]Aiseee watakua wanakuogopa hao
Eeeh flat screeen hua wakali eti[emoji38]Wanaogopa nini au hii flat screen [emoji3][emoji3]
Ni kweli ila hata huyo wa kumuweka kiraka simpati mkuu meno [emoji2368]Hahaha IPO kama haipo.
Labda unachagua sana,chukua kiraka kashone mwenyewe utainjoi kazi ya mikono yako.
A man u want is in ur head.
Firstborn mamboAisee
POA habari asee. Naona unatafuta. Sijui tutafutane? HahahaFirstborn mambo
Karibu tuyajenge mkuu[emoji3]uzi unaruhusu huuPOA habari asee. Naona unatafuta. Sijui tutafutane? Hahaha
Usipokuja ndio nitakapoelewa dhahili kuwa roho mbaya zipo na nitakuweka ignore list kabisa [emoji38][emoji38][emoji38] nisikuone.
Unasema [emoji101]? Yani mm nikuandikie uzi nimalize na maneno yote kuandika juu yako alafu usitokee nani atakuwa na roho mbaya sasa hapo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaniweka nini! we ndo utakua na roho mbaya sasa
wewe apo unajuaje sijatokea sababu sina bando[emoji38]Unasema [emoji101]? Yani mm nikuandikie uzi nimalize na maneno yote kuandika juu yako alafu usitokee nani atakuwa na roho mbaya sasa hapo [emoji3][emoji3][emoji3]
Umeuwa mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ww unaita wenzio tunaitwa.[emoji3][emoji3]
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3][emoji3] tena bonge la churaa