Uzi wa kutoa Maoni Juu ya Taasisi Zilizoshindwa kusimamia Misingi ya kuundwa kwake hivo unatamani zifutwe.

Uzi wa kutoa Maoni Juu ya Taasisi Zilizoshindwa kusimamia Misingi ya kuundwa kwake hivo unatamani zifutwe.

The mission 2017

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2017
Posts
1,748
Reaction score
3,229
Habari wana bodi.

Kutokana na Anachoendelea kukifanya Trump huko USA, Nimepata tafakuri ya hapa kwetu Tz.

Tuko na baadhi ya taasisi zilizo shindwa kabisa wazi wazi kutekeleza matakwa ya kuanzishwa kwake hivyo ni sawa na hakuna.

Uzi huu ni wa kupendekeza hizo taasisi, Na kupendekeza zifutwe au ziundwe upya pindi uongozi unapo badilika.

Mimi naanza na TAKUKURU, Taasisi hii ilianzishwa kwa mlengo wa kuzuia na kupambana na Rushwa nchini, lakini kadri siku zinavozidi kwenda ndio hali inazidi kua mbaya, Rushwa imetamalaki wazi wazi lakini jamaa wapo tu hata kuwasikia hakuna, wamebaki tu kuonea vidagaa sijui waalimu na madaktari lakini wahusika wa kuu wa rushwa hata hawabuguziwi.

Sasa unabaki kujiuliza kuna manufaa gani ya kua na hii taasisi, hatuoni kama ni matumizi mabaya ya kodi zetu, niwakati sasa hii taasisi ifutwe au iundwe upya.

Taasisi ya pili TBS, Jawa jamaa ni wadhibiti ubora wa bidhaa zinazo uzwa katika soko la Tanzania, Wamepewa jukumu lakujakikisha bidhaa zinazo ingia sokoni zina kiwango stahiki, lakini huko masokoni hali ni mbaya bidhaa feki zimetapakaa kila kona hakuna wanacho fanya, Wito wangu hii taasisi ifanyiwe maboresho, ikiwezekana iwe funded vya kutosha ili iweze kutimiza matakwa ya kuanzishwa kwake.
 
Habari wana bodi.

Kutokana na Anachoendelea kukifanya Trump huko USA, Nimepata tafakuri ya hapa kwetu Tz.

Tuko na baadhi ya taasisi zilizo shindwa kabisa wazi wazi kutekeleza matakwa ya kuanzishwa kwake hivyo ni sawa na hakuna.

Uzi huu ni wa kupendekeza hizo taasisi, Na kupendekeza zifutwe au ziundwe upya pindi uongozi unapo badilika.

Mimi naanza na TAKUKURU, Taasisi hii ilianzishwa kwa mlengo wa kuzuia na kupambana na Rushwa nchini, lakini kadri siku zinavozidi kwenda ndio hali inazidi kua mbaya, Rushwa imetamalaki wazi wazi lakini jamaa wapo tu hata kuwasikia hakuna, wamebaki tu kuonea vidagaa sijui waalimu na madaktari lakini wahusika wa kuu wa rushwa hata hawabuguziwi.

Sasa unabaki kujiuliza kuna manufaa gani ya kua na hii taasisi, hatuoni kama ni matumizi mabaya ya kodi zetu, niwakati sasa hii taasisi ifutwe au iundwe upya.

Taasisi ya pili TBS, Jawa jamaa ni wadhibiti ubora wa bidhaa zinazo uzwa katika soko la Tanzania, Wamepewa jukumu lakujakikisha bidhaa zinazo ingia sokoni zina kiwango stahiki, lakini huko masokoni hali ni mbaya bidhaa feki zimetapakaa kila kona hakuna wanacho fanya, Wito wangu hii taasisi ifanyiwe maboresho, ikiwezekana iwe funded vya kutosha ili iweze kutimiza matakwa ya kuanzishwa kwake.
1.CHUO KIKUU CHA KILIMO CHA SOKOINE (SUA).
 
Habari wana bodi.

Kutokana na Anachoendelea kukifanya Trump huko USA, Nimepata tafakuri ya hapa kwetu Tz.

Tuko na baadhi ya taasisi zilizo shindwa kabisa wazi wazi kutekeleza matakwa ya kuanzishwa kwake hivyo ni sawa na hakuna.

Uzi huu ni wa kupendekeza hizo taasisi, Na kupendekeza zifutwe au ziundwe upya pindi uongozi unapo badilika.

Mimi naanza na TAKUKURU, Taasisi hii ilianzishwa kwa mlengo wa kuzuia na kupambana na Rushwa nchini, lakini kadri siku zinavozidi kwenda ndio hali inazidi kua mbaya, Rushwa imetamalaki wazi wazi lakini jamaa wapo tu hata kuwasikia hakuna, wamebaki tu kuonea vidagaa sijui waalimu na madaktari lakini wahusika wa kuu wa rushwa hata hawabuguziwi.

Sasa unabaki kujiuliza kuna manufaa gani ya kua na hii taasisi, hatuoni kama ni matumizi mabaya ya kodi zetu, niwakati sasa hii taasisi ifutwe au iundwe upya.

Taasisi ya pili TBS, Jawa jamaa ni wadhibiti ubora wa bidhaa zinazo uzwa katika soko la Tanzania, Wamepewa jukumu lakujakikisha bidhaa zinazo ingia sokoni zina kiwango stahiki, lakini huko masokoni hali ni mbaya bidhaa feki zimetapakaa kila kona hakuna wanacho fanya, Wito wangu hii taasisi ifanyiwe maboresho, ikiwezekana iwe funded vya kutosha ili iweze kutimiza matakwa ya kuanzishwa kwake.
Huu mfumo psssf,kwa wastaafu ni janga,uanzishwe upya na wastaafu wenyewe wawe member wa board.
 
Back
Top Bottom