Uzi wa kutupia aina ya Gari kali ya ndoto yako!

ni bora ninunue baiskeli sio Ist mkuu
Ha ha haaaa! Acha izo bana, IST gari nzuri kwa watu wa uchumi wa kati. Fuel economic, simple and stylish. Mtoto huanza kwa kutambaa then siku moja atakimbia! So hata mwenye gari ka ya Mr Bean au mgongo wa chura aka Bito nao waheshimiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…