state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,510
Hahahaahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee fundi Maiko ametisha hapo .
Fundi Maiko hapo amevunja rekodiKwa hisani ya mpiga picha wetu naomba nilete kazi nzuri ambayo ameifanya fundi Maiko na sasa angalau atapanda viwango
View attachment 1204576
Ukute kalipwaFundi MaikoView attachment 1204379
Picha ya kwanza huyo fundi lazima apigwe then hatolipwa.
Fundi kaamua kumpa jamaa gharama zisizokuwa na mpango. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fundi MaikoView attachment 1202147
Dah sana mkuuuAaah welcome back Bablai..
[emoji23][emoji23][emoji109]Ndo wa kwanza kucomment, tena kwa mtu maarufu humu[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo ni furahiday kumbukaMaji yashakorogeka ndugu watu vichwa vinawaka moto mtu mwenye jina km Mshana saa hz ingekuwa page ya 12 huko!
Fundi Maiko kashaharibu kazi hapo anaandaa Kamba za kumfunga boss hapo.