Rommy Ronny
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 664
- 884
We utakuwa mchaga aiseee.
Napenda mwanaume akivaa hiki kiatu jaman
Mbona madukani vipo tu, tena bongo vipo sanaAiseee nikajua upo dukan tukufate kuna mtu kavipenda sanaaaa
Na nani?Hilo neno "my dear"
Unatafuta kesi mkuuuu
Uka sawa kabisa, yaani all eyez on me!!!Inaonekana umependeza sana hapo ulipo
Hamna kitu kama hicho my dear.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]na wifi yangu wa jf
mguu wa mwanaume wa mkoani ndio huu mkuu kumbe
Manina...waweke vyao hpaWeka picha za viatu vyako hapa
uzi maalum wa visuruali