Viatu vyenye mambo mengi sijui rangi mchanganyiko na mbwembwe nyingi sivaagi mm.....nataka simple & classic!Unaguna nn
Hapanandani ya bahari au?
[emoji7] napenda mwanaume anayevaa kiatu cha hivi
100%Viatu vyenye mambo mengi sijui rangi mchanganyiko na mbwembwe nyingi sivaagi mm.....nataka simple & classic!
ila hii issue ya viatu bhn huwa inaniachaga mdomo wazi.....kuna siku ndani ya mizunguko yangu town nikafika sehemu flani hv nikapark gari akaja njemba moja hivi imevaa viyebo yebo flani hv vinaitwa 'BAJAJI' nusu nirudi ndani ya gari tnHapana
We mkweliViatu vyangu nilinunua Johannesburg na soksi zake nyeupe huwa nikivaa najihisi kama Michael Jackson the wacko jacko ana moonwalk kwenye thriller.
Navipenda sana hivi viatu toka moyoni.
Kwanini mkuu?We mkweli
nimekielewa hikiNani anacho kama changu
Hapa sass umeanza kupatia kwa mbaali.
Huyu baba angu kabisaaa
wekka kisicho na kamba chenye zip tuNani anacho kama changu