fact!Viatu vyenye mambo mengi sijui rangi mchanganyiko na mbwembwe nyingi sivaagi mm.....nataka simple & classic!
Aaaaahaha!! Mkuu umetisha sana. Yaani naonesha kitu wewe umeona Miwa?Mkuu naomba miwaaa
Kuna mtu anaitwa King crazy?[emoji83]Ndio dressing code ya party nilikuwa naenda. Nilitaka kuvaa tofauti nikaona isiwe ishu nisije kuwa kama Crazy GK kwenye harusi ya AY.
Go with the flow.
Nimekupenda bure! Waniache nije nikuchezee ile moonwalk ya kwenda mbele kumbe ndo narudi nyuma.Muache Michael Jackson wangu
inaonekana mpenzi wa jeans sana mkuupic no. 2, Jordan iyo OG
New Balance
Nimekuelewaa mzee wa simplepic no. 2, Jordan iyo OG
Jean unaweza kumficha mtoto mchanga mfukoniZamani kuna raba zilikuwa zinaitwa Nike,Reebok, Cat nk kwa kutaja chache-ukiipigilia na jeans za miaka ile kama Zeezle lazima uonekana mtoto wa kishua !! Siku hizi hakuna vitu vya uhakika kama Miaka hiyo !!
Mkuu suruali nyeusi na soksi nyeupe.?Gentleman style