Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kuwaona wangapi waliovaa D![]()
Napenda mwanaume akivaa hiki kiatu jaman
kinapendeza zaidi ukivaa bila ya socks. kitu cha Lacoste.Gentleman style
![]()
midosho ni fakes au copies zisizo zinazoshabahiana na genuine brands.Midosho ndo nini
That's very true indeed. Kiatu na belt. halafu vi match...Na ukitaka kumjuaaa mwanaume mstaaarabu angaliaaaa kiatu alichovaaa,unaweza kukuta mwanaume kavaaa kapendezaa balaaa ilaa ukiangaliaaa chini viatu havitizamiki
Mara nyingi casual wear esp footwear you don't put on a socks. Hiyo ni trend ingaw siyo sheria wala kanuni.Kwanini mpwa....!!?
yaan hiki kiatu haina haja ya kioommh![emoji20]
Hii sio presentable. Red trousers?! Ila hongera umemechisha na zulia[/QUOT
@"RRONDO Umeniwahi nilitaka kusema Jamaa kamatch na carpet kuna rangi nyingine kwa mwanaume kuvaa sijui huwazipoje jaman
Hivi ndio viatu bwana .Kuna Hicho Ngozi Pure Kama Kimepanda Hivi Hicho Ni kiatuu
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Ningekuwa na mpenzi ningemnunulia hiki![]()
Wakak wa chuo sna neno
Huu Mchina na Wewe unao?
Niko manta bibieUpo site?
Safety jogger bets boys sio mchina huoHuu Mchina na Wewe unao?