SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,375
Hii ndo mikato ya wanaume bana,so mwanaume unavaa kiatu kinawaka waka utafkiri taa za kitchen party..Mikato yangu![]()
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndo mikato ya wanaume bana,so mwanaume unavaa kiatu kinawaka waka utafkiri taa za kitchen party..Mikato yangu![]()
![]()
a.k.a choma kumoyochukua hicho hapo![]()
Duuuh nikiona buti kama hili nakumbuka mbali sana
Zakishambaa
Nzur babaaaDuuuh nikiona buti kama hili nakumbuka mbali sana
Nimezitumia sana miaka hiyo nafanyia kazi kiwanda fulaniNzur babaaa
HahaaaaNimezitumia sana miaka hiyo nafanyia kazi kiwanda fulani
Mkuu nitazipata wapi kwa sasa hizo butiHahaaaa
Zakishambaa
Mhhh yUtakua na wivu sana wewe
Mhhh y
UnauhakikaMashavu yko tells everything
Unauhakika
Sina wivu bas mana hamna wakumfanyia humuuNdio
Sina wivu bas mana hamna wakumfanyia humuu
hivi unauza boss ama?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Forex ilianza hivi hivi..
mwishoni tu usije tuambia unauza hivyo viatu