Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,203
- 5,997
Tumeelewana vizr natania tu kiongoz!!.Labda hatujaelewana
Uhandsome wangu una gharama sanaMkuu unapita kwa kuringa au kwa kunata?[emoji23]
acha masihara basiii ..Toka zaman
Niko vizuri ondoa shakaOffer hiyo uwe msweeet
Comment ingesindikizwa na kapicha mkuu kutilia mkazo maneno yakoUhandsome wangu una gharama sana
Nishatupia kule mwanzo, ebu kaangalieComment ingesindikizwa na kapicha mkuu kutilia mkazo maneno yako
Uyo ndo anaekufaa na siyo hao masharoBwahahaahahahaja kaka hunipendi mdogo wako mchumba sura ngumu hivi
Exactly na ukipata anayepiga shoo hata kama unaumia umevumilia tu Kwa sababu ya uhandsomShida ni moja,mahb wengi sijui wanakulaga nini[emoji23]show zao ni chini ya kiwango
Yani hawa ni kwa ajili ya kuwaota ndotoni,kuringia kwa mashost ,na kuuzia sura mkitoka out
aiseeee hayaHuamini mm ugonjwa wangu mahandsome
Za mawani si et[emoji23][emoji23]nmecheka sanaAsee hizi picha asilimia nyingi ni za ku Download google, Then mtu anatupia tuu, unaenda google unaandika " handsome boy" google ulivyo kuwa kimbelembele hataybisivyohusika inakuletea [emoji112] [emoji112]
Nimeona asanteNishatupia kule mwanzo, ebu kaangalie