Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Pole kaichaji sasa hivi kwa jiraniHahaa alafu Leo Tanesco wamenionea Hakuna Umeme nahisi nitapotea hapa kama ghost
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kaichaji sasa hivi kwa jiraniHahaa alafu Leo Tanesco wamenionea Hakuna Umeme nahisi nitapotea hapa kama ghost
Ahsante[emoji126] [emoji126]Karibu
[emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257]Ahsante[emoji126] [emoji126]
[emoji4] [emoji4] [emoji187][emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257]
[emoji4] [emoji4] [emoji187][emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257] [emoji257]
Unawapigiaga nyeto na tango nini dada?Bwahahahahahahahahahha
Wasabahi huko mjengoniMtaaa wote hakuna Umeme Ngoja niende bungeni nikachaj sm nitarud na Umbea
Hahahaaaa. Mie pia sijawahi waamini kabisa na hata kwenye ile shughuli yetu pendwa sijui kama wanaimudu ipasavyo. [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hao shoga ni wa kushutia movies tuu kwa urembo huo watakaa home kweli kupanga budget za familia!??mmmh me nna wasiwasi nao kabisaaaa
Kama una sura ngumu tuliaaa. Tunapendaga ma hb hata sisi wana raha zake sema wachacheHao ni wanaume au ni mashosti wenzenu maana dume kamili anatakiwa kua na sura ngumu sasa tukifanana na nyie nan sasa atakua mwanamke ....hao ndo wapaka poda mnaowapenda wakiwagegeda chini ya kiwango mnakuja nama lalamiko ohooo wanaume wa siku hizi sijui wanavibamia hahaaaaa.Tafuteni wanaume ambao hata kioo kanunua kwa ajiri ya mkewe sio dume unajiangalia kwenye dresing table ili iweje[emoji15] [emoji15] [emoji15]