Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

Jaman mama Sabrina sio Kwa mahaba hayaaaa
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Jamaani best ulivyoshangaa. Mmh.

Huwa nasikiaga na mie best ujue nilikuwa nataka uhakika kutoka kwa mumu. Hahahaaaa.
Hahaaa haya bwana, mi sisemi kitu[emoji12] [emoji12]
 
Hahaaaa. Nipo my dear. Pole mwaya na hongera pia.

Aisee wacha nijipange kwa hilo bonge la ofa. Ila mumu unajuaga kunitamanisha ujue. Tutaongea mwaya sababu maisha yenyewe mafupi haya.

Nakuombea my dear Insha Allah, kheri izidi kupatikana mwaya.
Hahahah Amina shostii,.maisha yenyewe yako wapi haya yakujinyima,...tunapambana Mungu akitupa basi si vibaya kujilia mema ya nchi ukiwa na uwapendao,haha kwani shin' ngapi eti,.aaah tuombeane tuu mwaya afya njema na mafanikio[emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…