Waooooh Ngoja Nitamfollow na mm niwe nachukua mapichaa yakeeeView attachment 689622 mim ningekua maulaya huko wangenikoma hawa watu,anatumia hilo jina Insta
Nakuambia angalia channel ya AXN saa mbili hivi wanaonesha hiyo series,au nunua anza mwanzo hutojuta inafurahisha,inasikitishaHahahahaaa..
Hahaahahah mfollow hana makuu hata comment anajibu yeyeWaooooh Ngoja Nitamfollow na mm niwe nachukua mapichaa yakeee
Ray Donovan niliangalia nikaona sielewi nikaachana nayoNakuambia angalia channel ya AXN saa mbili hivi wanaonesha hiyo series,au nunua anza mwanzo hutojuta inafurahisha,inasikitisha
Mavi mavi ahahaaaSio wabongo mashauzi kibao
Aaaa basi we ungekaa nami ungeiangalia mwanzo nzuri balaa,yule Mickey Donovan ana vituko balaa halaf msela kwelii anawasababishiaga wanae matatizo kweli[emoji23][emoji23]Ray Donovan niliangalia nikaona sielewi nikaachana nayo
Mi napenda drama. Nione watu wanapendana wanakiss sasa wale hata nlikua siwaelewi. Bora niangalie Love And Hip Hop mara 50000Aaaa basi we ungekaa nami ungeiangalia mwanzo nzuri balaa,yule Mickey Donovan ana vituko balaa halaf msela kwelii anawasababishiaga wanae matatizo kweli[emoji23][emoji23]
Anachokitaka atakipata shauri akeNgoja waje mm [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mi nimeipenda sex and the city pia ni mapenzi tu mle [emoji23][emoji23] wana vituko wale wadada wanneMi napenda drama. Nione watu wanapendana wanakiss sasa wale hata nlikua siwaelewi. Bora niangalie Love And Hip Hop mara 50000
WamechelewaaNgoja waje mm [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha itakuwa kampenAlafu nimemuona Leo kwenye clouds 360 sijui alikuwa anaongea nn
Halafu sijawahi iangalia hiyo. Ngoja niidownload leo niangalie. Unaangiaga LAAHH? Kule napendaga drama zao tu.Mi nimeipenda sex and the city pia ni mapenzi tu mle [emoji23][emoji23] wana vituko wale wadada wanne
Ipakue my anza mwanzo utaniambia pm ,,wale wadada ni single wote wqna vituko balaa,unadhan sie tuna vituko hapa hakuna kabisaHalafu sijawahi iangalia hiyo. Ngoja niidownload leo niangalie. Unaangiaga LAAHH? Kule napendaga drama zao tu.