hahaa waona kama amevaa dera au..mbona mashekhe na ma padree wanavaa magauni waliyoyapachika jina kwakuyaita KANZUmmh! hizo culture zingine hapana kwakweli [emoji125][emoji125][emoji125]
Poleee Kama una Sura ngumuuu bwahahahhahahhaHao ni wanaume au ni mashosti wenzenu maana dume kamili anatakiwa kua na sura ngumu sasa tukifanana na nyie nan sasa atakua mwanamke ....hao ndo wapaka poda mnaowapenda wakiwagegeda chini ya kiwango mnakuja nama lalamiko ohooo wanaume wa siku hizi sijui wanavibamia hahaaaaa.Tafuteni wanaume ambao hata kioo kanunua kwa ajiri ya mkewe sio dume unajiangalia kwenye dresing table ili iweje[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Demiss Sasa nimeamin hujui maana ya Handsome ... huwezi kuweka Picha za Wanaofanya Modeling za Mavazi ukasema ni Uhandsome !!.
daahh ile suit yke ni kabali ..nimependa kitambaa chake ...daahh hatari snaRadeeek aka Deep Nampenda mpaka naumwaaa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Sijawahi kuona uzuri w mwanaume mvaa hereni.nikiona nabadilishaga njia kifua kinajaaKumekucha.....
No matter what,ngoja niiweke picha yangu kwenye huu uzi ila tatadhali msiizambaze wakuuhahaaaa ..nitajifnya kama sijaiona hii comment yko aisee
Mwenyewe mecheka kwelihuyu ss amevaa nini hapo?[emoji32]
Mkuu kwani hao wote si wametoka kwa Mungu yanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi Mungu?Hao ni wanaume au ni mashosti wenzenu maana dume kamili anatakiwa kua na sura ngumu sasa tukifanana na nyie nan sasa atakua mwanamke ....hao ndo wapaka poda mnaowapenda wakiwagegeda chini ya kiwango mnakuja nama lalamiko ohooo wanaume wa siku hizi sijui wanavibamia hahaaaaa.Tafuteni wanaume ambao hata kioo kanunua kwa ajiri ya mkewe sio dume unajiangalia kwenye dresing table ili iweje[emoji15] [emoji15] [emoji15]
vigezo na masharti tutavizingatia mkuu..ONDOA hofu na mashakaNo matter what,ngoja niiweke picha yangu kwenye huu uzi ila tatadhali msiizambaze wakuu
Akh atanipitisha tueti demiss mmempitisha huyu ..?
hahaaa
asante ..halafu hii dhana yakusema wanaume wenye muonekano wa sura nzuri kuwa sio wanaume sijui wameitoa wapi ??Mkuu kwani hao wote si wametoka kwa Mungu yanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi Mungu?
ngoja nione mkuuAkh atanipitisha tu
demiss wahitajika huku..umemsikia kijana ??Nyege zinakusumbua
Mmh huu mwandiko vipi?Mwenyewe mecheka kweli