Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

Poleee Kama una Sura ngumuuu bwahahahhahahha
 
Radeeek aka Deep Nampenda mpaka naumwaaa[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
daahh ile suit yke ni kabali ..nimependa kitambaa chake ...daahh hatari sna
 
Mkuu kwani hao wote si wametoka kwa Mungu yanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi Mungu?
 
Mkuu kwani hao wote si wametoka kwa Mungu yanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi Mungu?
asante ..halafu hii dhana yakusema wanaume wenye muonekano wa sura nzuri kuwa sio wanaume sijui wameitoa wapi ??
hapo hapo wakienda Kanisani na misikitini wanakubali kuwa YUSUPH SIJUI YOSEPH ALIKUWA NDIYE MWANAUME MZURI KULIKO WOTE KUWAHI KUTOKEA ..AJABU SANA AISEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…