Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

!
 

Attachments

  • IMG_20180201_195822_284.JPG
    IMG_20180201_195822_284.JPG
    25.7 KB · Views: 71
Hao ni wanaume au ni mashosti wenzenu maana dume kamili anatakiwa kua na sura ngumu sasa tukifanana na nyie nan sasa atakua mwanamke ....hao ndo wapaka poda mnaowapenda wakiwagegeda chini ya kiwango mnakuja nama lalamiko ohooo wanaume wa siku hizi sijui wanavibamia hahaaaaa.Tafuteni wanaume ambao hata kioo kanunua kwa ajiri ya mkewe sio dume unajiangalia kwenye dresing table ili iweje[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Poleee Kama una Sura ngumuuu bwahahahhahahha
 
Hao ni wanaume au ni mashosti wenzenu maana dume kamili anatakiwa kua na sura ngumu sasa tukifanana na nyie nan sasa atakua mwanamke ....hao ndo wapaka poda mnaowapenda wakiwagegeda chini ya kiwango mnakuja nama lalamiko ohooo wanaume wa siku hizi sijui wanavibamia hahaaaaa.Tafuteni wanaume ambao hata kioo kanunua kwa ajiri ya mkewe sio dume unajiangalia kwenye dresing table ili iweje[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mkuu kwani hao wote si wametoka kwa Mungu yanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi Mungu?
 
Mkuu kwani hao wote si wametoka kwa Mungu yanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi Mungu?
asante ..halafu hii dhana yakusema wanaume wenye muonekano wa sura nzuri kuwa sio wanaume sijui wameitoa wapi ??
hapo hapo wakienda Kanisani na misikitini wanakubali kuwa YUSUPH SIJUI YOSEPH ALIKUWA NDIYE MWANAUME MZURI KULIKO WOTE KUWAHI KUTOKEA ..AJABU SANA AISEE
 
Back
Top Bottom