mkuu tatizo tuna uzembe wa kifikraasante ..halafu hii dhana yakusema wanaume wenye muonekano wa sura nzuri kuwa sio wanaume sijui wameitoa wapi ??
hapo hapo wakienda Kanisani na misikitini wanakubali kuwa YUSUPH SIJUI YOSEPH ALIKUWA NDIYE MWANAUME MZURI KULIKO WOTE KUWAHI KUTOKEA ..AJABU SANA AISEE
Nothing to fear Chief !! Ujue kazi ya umodel inawenyewe ,,sasa jamaa alivyofunga kwahapo nyuma ndo nmecheka ///mechekaMmh huu mwandiko vipi?
hili halina kifichomkuu tatizo tuna uzembe wa kifikra
Naona huu uzi umekugusa sana mana hubanduki huku kijanademiss wahitajika huku..umemsikia kijana ??
Mkuu hao wanajilegeza wenyewe ndo hao tunakuja kupata nzao za mashoga .Mkuu kwani hao wote si wametoka kwa Mungu yanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi Mungu?
asante ..hahaaa
Leo Nina hamu na mahandsome tu Nimechoka Sura ngumuuu delete na block kabisaaaa bwahahhahahah
Asante[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani mkuu we umezaliwa na nani na kama sio mama?Wee lete sura za kiume na sio wanaume wenye sura za mama zao
hahaaaaUkiwaona tu picchu chepe chepe! Kitu kinapwita pwita.
Hahaaaa nina sura ya kiume sina haja ya kujilemba km hao ili iweje sasa[emoji16] [emoji16]Poleee Kama una Sura ngumuuu bwahahahhahahha
namsaport demiss mkuuNaona huu uzi umekugusa sana mana hubanduki huku kijana
hahaa utapigwa ujueAsante[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MhNani kaweka picha yangu humu, ifuteni tafadhali