Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

Uzi wa kutupia picha za wanaume mahandsome!!!

asante ..halafu hii dhana yakusema wanaume wenye muonekano wa sura nzuri kuwa sio wanaume sijui wameitoa wapi ??
hapo hapo wakienda Kanisani na misikitini wanakubali kuwa YUSUPH SIJUI YOSEPH ALIKUWA NDIYE MWANAUME MZURI KULIKO WOTE KUWAHI KUTOKEA ..AJABU SANA AISEE
mkuu tatizo tuna uzembe wa kifikra
 
c62119c3f29d1fae4765e16dd0bf48ce.jpg
b61e7603c7f9cf7171aa313b168a9fa9.jpg
947fc8bdfbac419a6509b0375bbe64be.jpg
 
Back
Top Bottom