Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,828
Huyu jamaa si anakiwalaza au kipara huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa si anakiwalaza au kipara huyu
hahaha ss naona unatafuta povu la Demiss [emoji23][emoji28][emoji23] handsome wake umeshamchagulia na wimbo tayari [emoji23][emoji28][emoji23]Hahaha kama namuona anavokata mauno wimbo wa Awilo coupe bibamba[emoji23]
Nimemtagi toka mwanzo bado haonekani, atakuwa kule kwa Dr.Sitaki kuamini kama hayupo acha nirudi kulala
usicheke mchatle akikuskia utasbabisha tuanze kulipia kodi mpka vicheko..maana hataki kuona mtu akiwa na furahaHahahahahahaaaa aiseeeee
Hapa namtafuta Mama Sabrina
huyu mbona kama Craig David..ila Craig David wasikuhiz ukimtazama lazima ukatae kuwa ndiye yeye
Wee ringa tu mamaBwahahaahahahaja napita Kwa kuringa
Kama haendi chooni vile!Handsome msweeet Kama nn
Mama sabrina alimpelekea deo kisandu chai asubuhi nadhani itakuwa wamemuomba amtatulie deo ile shida yakee [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Sitaki kuamini kama hayupo acha nirudi kulala
Hata mm namtafuta jaman uwiiiiiHuu uzi nisipomkuta Mama Sabrina Dinazarde narudi kulala