Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hupendi ku feel muscles zao?Ila hao mahandsome mmh! Wanavutia tu kuwatazama lakini kwa mambo yale mi hawanivutii
Tuko vise versa katika hiliJaman tunatofautiana mm handsome Tukiwa kunako huwa full minyegesho
Hahahhahahha nakuja unigaie mmojaDemiss, mama Sabrina kuna mkaka humu anajiita Raphael wa ureno nadhani anawafaa angeniruhusu ningeweka pic yake hapa sema nini mimi na mahb ni Maji na mafuta home wadogo zangu wa kiume ni mahb km shombe za kiethiopia njoeni tuyajenge
Mi hapana, akizidi kuwa handsome hlf ukute legelege hanisisimui. Napenda uzuri wa kati ila asiwe km gudumeJaman tunatofautiana mm handsome Tukiwa kunako huwa full minyegesho
hupendi ku feel muscles zao?
haya. embu kwanza nicheki pm nina ham ya kubadilishana mawazo na ww bestMi hapana, akizidi kuwa handsome hlf ukute legelege hanisisimui. Napenda uzuri wa kati ila asiwe km gudume
Kwi kwi kwi kwi...vituko vya pm siviwezihaya. embu kwanza nicheki pm nina ham ya kubadilishana mawazo na ww best
Mmmmh mzuri kama nani toa mfano tulinganishe nisije ona wa kawaida tuDemiss, mama Sabrina kuna mkaka humu anajiita Raphael wa ureno nadhani anawafaa angeniruhusu ningeweka pic yake hapa sema nini mimi na mahb ni Maji na mafuta home wadogo zangu wa kiume ni mahb km shombe za kiethiopia njoeni tuyajenge
Mi ndio zangu hizo yaan hizo muscles huniongezea hisia sana ,akikujia kwa juu mikono ile inavyojikata kata mim hoi nahisi nimelala na wiliam Levyhupendi ku feel muscles zao?
Tunatofautiana jamaniIla hao mahandsome mmh! Wanavutia tu kuwatazama lakini kwa mambo yale mi hawanivutii
Hapana mi simuamini KapeaceHahahhahahha nakuja unigaie mmoja
Huyo Raphael naona tayar watu wameshakimbilia pm
Gudume bonge la handsome asikwambie mtuMi hapana, akizidi kuwa handsome hlf ukute legelege hanisisimui. Napenda uzuri wa kati ila asiwe km gudume
Yes mamii ndo hivyoTunatofautiana jamani
Kabisa maana haya macho yanatofautina kabisaAsije akatupa wassira hahahha