Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kutupia screenshot tu za namna dada zetu wanatupanga ili watupige mizinga kwa kutumia Visingizio mbali mbali ambavyo havipo kabisaa..[emoji3][emoji3][emoji3] kama naumwa..nitumie nauli alafu haji..mama anaumwa au nimepata safari ya ghafla nina matatizo.
Screenshot kama hii..View attachment 1972976
Cha ajabu zote unazisoma na kuchangia kama ulivyoisoma hii na kuchangia!JF sikuhizi inapotea, nyuzi za hovyo tu kila kukicha
Mzee wa kula tunda kimasikhara.Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kutupia screenshot tu za namna dada zetu wanatupanga ili watupige mizinga kwa kutumia Visingizio mbali mbali ambavyo havipo kabisaa..[emoji3][emoji3][emoji3] kama naumwa..nitumie nauli alafu haji..mama anaumwa au nimepata safari ya ghafla nina matatizo.
Screenshot kama hii..View attachment 1972976
Mtaalamu wa kuanzisha nyuzi znazoishi..[emoji2][emoji2] Long liveUzi huu ni maalumu kwa ajili ya kutupia screenshot tu za namna dada zetu wanatupanga ili watupige mizinga kwa kutumia Visingizio mbali mbali ambavyo havipo kabisaa..[emoji3][emoji3][emoji3] kama naumwa..nitumie nauli alafu haji..mama anaumwa au nimepata safari ya ghafla nina matatizo.
Screenshot kama hii..View attachment 1972976
Ovyoo