Uzi wa kwanza baada ya JamiiForums kurudi, ulimmiss nani na nini?

Uzi wa kwanza baada ya JamiiForums kurudi, ulimmiss nani na nini?

hahah team kukesha sie
Hahahaaaa. Na kweli.
nasubiria kopa ujue bado halijeva
Hahahaaaa. Nimepanga kesho jumamosi ndio nlipike dada.
mate yashaanza kunijaa wallah siku nyingi looh usinipite
Hahaaaa. Usijali shoo.
hya mpenz mahala pakiwa pazur niite nimekuwaje mvivu siku hiz
Haya mdogo wangu usijali.
sawa dada
Mliponiambia nenda Dukani kbe mlitaka nisiwasikie mipango yenu ya kuninyima vitu vizuri na vitamu...... [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Mliponiambia nenda Dukani kbe mlitaka nisiwasikie mipango yenu ya kuninyima vitu vizuri na vitamu...... [emoji30] [emoji30] [emoji30]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dada hajar njoo umchukue mdogo wako huku kagutuka usingizini
 
Back
Top Bottom